Our Clubs.

...

Monday, March 26, 2018

Kisimbo Mjenga: ''Nataka kua mwana Shaolin mkubwa hapa Tanzania''



Huenda ikawa si mara ya kwanza kulisikia jina la Kisimbo,

lakini naamini leo itakua ni mara ya kwanza kumsikia Kisimbo R. Mjenga, akielezea hisia na malengo yake katika Kung fu......

Saturday, March 24, 2018

Saidi Upinde katika ubora wake.



Hapa akijaribu kuonyesha juhudi zake kwenu wadau wa michezo, katika kuhakikisha anakua fiti mudawote, ili akipata nafasi ya kuwakilisha nchi afanye kile ambacho watanzania wanakikosa katika michezo mingine.

Tuesday, March 20, 2018

Saidi Upinde,amuomba waziri kusapoti juhudi zake za kulitangaza taifa.



Akiongea kwa hisia na msisitizo unao dhihirisha hamu kubwa ya kutaka kutimiza ndoto anazoziota kilasiku za kuifanya Tanzania kua maarufu duniani kote kupitia mchezo wa Wushu,

endapo mambo haya yakizingatiwa....

Sunday, March 18, 2018

Mafunzo ya Wushu, sehemu ya kwanza.(Wushu training)



Hii ni sehemu ya kwanza katika mfululizo wa mafunzo ya Wushu kupitia blog na chanel ya youtube ya Master Mfaume, katika video hii utajifunza maana ya wushu na faida zake maana na umuhimu wake katika jamii.

hakikisha upwitwi na somo kwa ku subscribe,

Saturday, March 3, 2018

Basic Wushu Kung fu Exerciser....



Haya ni baadhi ya mazoezi muhimu unayopaswa kuyafanya kila siku,

ili kupata matokeo bora nilazima ufanye mazoezi katika mpangilio unao endana na kile unacho kihitaji ndani ya mwili wako,
na huu ndiyo mfumo bora utakao kufanya uwe  bora na ubaki bora.

Jifunze Orijino Kungfu  na Master Mfaume,
kutoka Shaolin Temple China.
Kwa msaada zadi jiunge nasi tupo Kinondoni DSM.
wasiliana nasi kwa 0788984028 au 0655326142
barua pepe, mfaumetz@gmail.com
www.shaolintempletz.blogspot.com

Ili usipitwe na video za mafunzo tafadhali usisahau ku SUBSCRIBE chaneli yetu,
 Like Facebook page tu ya Shaolin Temple Tanzania.