Our Clubs.

...

Wednesday, May 16, 2018

Mafunzo ya Wushu sehemu ya tatu (wushu training)



Katika sehemu ya tatu ya darasa letu. tunajifunza namna ya kuanza kufanya mazoezi na mafunzo ya Kung-fu,

 na huu ndiyo mpangilio bora kwa matokeo bora na afya ya mwili wako
USISAHAU KU SUBSCRIB COMMENT SHARE.....

Tuesday, May 15, 2018

Shaolin Temple China,1st Shaolin Kungfu Class(2)



Tunaendelea na sehemu ya pili katika mfululizo wa kuangalia mafunzo ya Kungfu  toka China.

Leo tutaona mafunzo ya ndani na nje ya temple.
Endelea....
NAKUKUMBUSHA KU SUBSCRIBE KU COMMENT KU SHARE KU LIKE.

Monday, May 14, 2018

1st Shaolin Kungfu Class



Jionee mafunzo na mazoezi ya Kung fu tuliyo pitia huko China,

haikua rahisi kama wengi wanavyodhani,
leo tutaanza na mazoezi ya msituni kayika misitu ya  milima ya  Songshan iliyopo njekidogo ya Shaolin Temple...

NAKUKUMBUSHA KU SUBSCRIBE KU COMMENT KU SHARE KU LIKE.

Sunday, May 13, 2018

Raisi T.W.A. avunja ukimya anena mengi usiyo yajua ndani ya Wushu ya Tan...



Mwarami Shaweji Mitete,

 Raisiwa  chama cha Wushu Tanzania,
Tanzania Wushu Association, (TWA).

Hapa akijaribu kusimulia mapito yake katika harakati zake,
kutoka mchezaji mwalimu na hadi raisi wa chama.

Itazame video hii ili kujua yanayo endelea miongoni mwa usiyoyajua kuhusu Wushu ya Tanzania.....

Usisahau kushea kulaik na ku subscribe channel ya YouTube ya Master Mfaume.

Thursday, May 3, 2018

Jionee Mtihani wa Kung Fu unavyokua(3)



Hii ni sehemu ya mtihani uliyofanyika katika Klabu ya Mafia Shaolin Kungfu huko mjini Mfia.



Mtihani huo uliiambatana na uzinduzi rasmi wa Klabuhiyo, 

katika hafla hiyo mgeni rasmi alikua mkuu wa wilaya ya Mafia na ilihudhuriwa na rais wa chama cha Wushu Tanzania (TWA)

Mwarami Mitete,

Makamu wa katibu, Mzee Sultani Upinde,

na afisa mipango Saidi Mfaume.

Monday, April 30, 2018

Jionee mtihani wa Kungfu unavyokua (2)



Hii ni sehemu ya pili katika mfululizo wa mtihani ulioandaliwa na club ya Mafia Shaolin Kungfu.....

Sunday, April 29, 2018

''Huu ndiyo ubora wa Wushu' '- Shafii Omari.



Anaitwa Shafii Omari.

Hapa akijaribu kutueleza kwa uchache yanayompendeza katika Wushu,
kipi kilimleta Shaolin Temple Tanzania Clubs.....

Tuesday, April 24, 2018

Mussa Saidi, na safaei ya Shaolin Temple.....



Ni mwanafunzi wa Dar es salaam Wushu Club,

Hpa akieleza namna alivyo kutana na Master Mfaume....

Mussa Saidi, na safaei ya Shaolin Temple.....



Ni mwanafunzi wa Dar es salaam Wushu Club,

Hpa akieleza namna alivyo kutana na Master Mfaume....

Monday, April 23, 2018

Mafia Shaolin Kungfu Club.



Vijana wa Klabu ya  Kungfu ya Mafia wakiwa katika mafunzo,

mwanzoni mwa mwaka jana 2017. 

Saturday, April 21, 2018

Jionee Mtihani wa Kung Fu unavyokua,.



Mafia shaolin Kungfu Club.

Mnamo tarehe 7/4/2018, iliandaa mtihani wa kwanza katika Klabu  hiyo ya kungfu iliopo wilaya  ya Mafia mkoa wa Pwani.

JIONEE MAMBO YALIVYOKUA...

Monday, April 16, 2018

Mafunzo ya Wushu sehemu ya pili.(wushu training)



Tunaendelea na darasa letu,

na huu ni muendelezo wa somoletu la Wushu.

Baada ya kuangalia Taolu leo tunaangalia Sanda.

Usikose kufatilia sehemu ya tatu katika muendelezo wa mafunzo ya Wushu,

NAKUKUMBUSHA KU SUBSCRIBE ILI UWE WAKWANZA KUPATA VIDEO MPYA.

Sunday, April 15, 2018

Raisi T.W.A. avunja ukimya anena mengi usiyoyajua ndani ya Wushu ya Tan...



Kutana naMwarami Mitete, ni raisi wa  chama cha Wushu Tanzania,

Tanzania Wushu Association, (TWA).
Hapa akijaribu kukumbuka yaliyo mkuta katika harakati zake kutoka mchezaji mwalimu na hadi raisi wa chama.
 na yanayo endelea miongoni mwa usiyo yajua kuhusu Wushu ya Tanzania.....