Our Clubs.

...

Saturday, February 25, 2017

CHAMA CHA WUSHU TANZANIA CHAITIKIA WITO WA MH.SAMIA SULUHU. 我的回答是坦桑尼亚武术协会呼吁结论萨米亚古老的恶习,主席

Chama cha Wushu Tanzania,kimeandaa mpango maalum wa mazoezi ya pamoja,ambayo yatawakutanisha wanachama wachezaji na viongozi wa kitaifa wa chama hicho katika uwanja wa Taifa.

Akiongea na wadu wa mchezo huo,afisa mipango wa T.W.A. Ndugu Saidi Mfaume,
alisema,
Anayo furaha kubwa sana kwa makamu wa raisi, kwa hatua aliyo chukua,kwanza nampongeza kwa kutambua umuhimu wa mazoezi na kulipa nafasi jambo hilo kua ni sehemu ya mpango wa kitaifa.
Nami na waomba viongozi na wanachama wote, kuunga mkono hatua hiyo kwa vitendo, na kujiotokeza kwa wingi katika mpango wetu huo mara tu utakapo zinduliwa rasmi, pamoja na faida za kiafya pia kwa upande wetu tutakua tunapata fursa ya kukutana kwa pamoja na kufahamiana zaidi.
Mpango huo unatariwa kuleta hamasa ya kujenga utaratibu wa kufanya mazoezi katika jamii.
Pia kujenga upendo na mshkamano, kwa walimu wa takao kutana, wachzajina na viongozi kwa ujumla.

Baada ya mazoezi ya pamoja pia kutakua na masomo maalum kwa walimu katika kuimalisha timu ya taifa.


坦桑尼亚武术协会,组织了联合演习特别节目,其中一田团结国家体育场党的国家领导人的球员和成员。

说到游戏的利益相关者,T.W.A.与项目官员赛义迪大哥Mfaume,

说,

他有一个非常非常高兴的副总裁,在步骤他采取了,先恭喜意识到锻炼,并有机会付出它的增长是国家计划的一部分的重要性。

同时要求领导和所有成员,以支持此类行动实践,在我们的程序不断涌现,一旦你的时候正式推出,从我们身边的健康益处还在一起,我们长大了,我们有机会相聚和了解对方更多的比比皆是。

该计划割礼带来动力,建立一种机制,在社会实践。

还创造爱和团结,教师在总体上达到隆夫,球员和和领导者。

x

No comments:

Post a Comment