Our Clubs.

...

Monday, March 6, 2017

TAFSIRI YA KISWAHIRI YA NENO ''QI'' KWA UFUPI.

Siku chache zilizo pita tulitoa maelezo ya neno ''qi powe'', na maana yake, kwa lugha ya kingereza, baada ya kupekea maombi mengi, ya kuweka lugha ya kiswahili,

tumeona tuwaletee japo kwa kifupi.


Endelea......

Chi ni neno la kichina lenye maana ya ya uhai,nguvu ya maisha au pumzi ya uhai.Pia hujulikana kama ki,qi au prana.Tafsir ya chi:"Nadharia ya dawa za asili za kichina hudai kwamba mwili una mfumo wa asili wa qi unaohusiana nao(mwili) ambao huzunguka katika njia ziitwazo meridians kwa kingereza.


By

 Master Mfaume


Sunday, March 5, 2017

Jinsi ya Kujifunza Kung fu kwa Wanao Anza.How to do Kung Fu for Beginners.

1: Jambo la kwanza ni kupasha mwili joto.
Kama ilivyo kawaida, kwa michezo yote ya mapigano, mafunzo na mazoezi yake, ni lazima kuanza na kupasha mwili joto (warming up) kupasha mwili kutnasaidia kuondoa uchovu na maumivu,


pia hukusaidia kupokea mafunzo ya kung fu,vizuri na kwa ufanisi zaidi.
Unapo taka kuanza mazoezi ya kupasha mwili joto, ni vizuri kama utavaa nguo za kufunika mwili wote, kama vile jaket yenye kofia,masuweta, na mfano,wa hizo,
kisha anza kukimbia taratibi taratibi kwa ajili ya kulegeza misuli ya mwili,
baada ya kupasha,utanyoosha misuli (stretching).
Tutaendelea na hatua ya pili,kujua kinacho fuata katika kujifunza.

NI NJIA NYEPESI NA RAHISI,PIA NI SALAMA DHIDI YA MAJERAHA.


How to do Kung Fu for Beginners.

1: Warming UpAs per any other sports or Martial Arts, all training and practices begin with warming up the body. Warming up your body helps to reduce injuries and post Kung Fu training cramps. It also aids in making your Kung Fu trainings more efficient and effective.
Kung Fu warm up exercises should always cover the whole body, usually beginning from the head and neck (upper body), shoulders, arms, running through the waist (mid body section) legs, ankle rotations and then usually ending off with a slow jog to warm up your body muscles, making stretching ( the next step of how to do Kung Fu for beginners) easier with lesser chances of sustaining injuries.

UPINDE NA HISTORIA YAKE KATIKA WUSHU,KUANZIA MWAKA 1977 HADI 2017.


HII  NI HISTORIA YANGU  KATIKA  WUSHU KUTOKA NILIKOTOKEA HADI HAPA

NILIPO LEO TAREHE 06/03/2017



Ninaitwa Sultani Kassim Upinde Ngwaya Ngapoleka mzaliwa wa MkambaWilaya Ya Mkuranga Tarafa Ya Mkamba Kata Ya Kisegese Kijiji cha VianziKitongoji Changedele.Nilizaliwa tarehe 20/08/1956.Nimeanza 

kuhamasika na kupenda kujifunza sanaa zamapigano kupitia kwa rafiki yangu aitwae Jumanne Ngwele Mwaka 1977Mtoni  Kwa Azizi Aliy Mtaa Wa Bostani.


Masta jumanne ngwele alikuwa anajifunza Gujuluu katika shule ya Zanakikwa Sensei Magoma wakati huo. Nami nikahamasika hatimaye akaanzakunifunza.


Lakini haikuchukua muda Jumanne alifariki, Kutoka hapo sikupatamwalimu wakunifundisha.Ilipofika mwaka 2000 nilihamia mbagara charambe mtaa wa mianzini, hapahamasa na mapenzi ya hii sanaa yaliibuka tena 

nilipokutana na MuharamiShaweji Mitete, Nilimkuta katika Gofu La Kantini  ya Tanita. Wakati huo, nilimkuta na wenzake kumi, Misilu, Luka, Mrisho, Abdala, Msiba, Kamanda Katambo, Kihiyo,Kazi Mnyunguna wengine.Nilio, wakuta 

wakifanya mazoezi Mitete  akiwa mwalimu  anafundisha staili iliyokuwa anaiita Kota Gushu.

Nikaomba utartibu wa kujiunga hatimae nikajiunga mimi na watoto wangu sita.

Nao ni:-Kassim  S. UpindeIbrahimu  S. UpindeYusuph  S. UpindeOmari   S. UpindeSaidi  S. UpindeSophia  S. UpindeKutoka hapo Tempo likaanza kushamili watu wakawa wanajiunga kwa wingi.

Bwana Muharami mitete akawa ana waleta walimu wa staili hii yamapigano wanaocheza michezo tofauti tofauti ili kuongeza nguvu yaufundishaji.Alimleta masta Cholo ambaye alifundisha  kombati kilaAlimleta Hamisi Mchina  mchezowake nimeusahau jina.


Alimleta Baba Rama  maarufu  kwajina la (FUU) wengine walimwuitaGujuluu huyu alifundisha shaolin kung – fu


Tempo lilipozidi kushamili Baba Rama alimualika   Mzee Saidi Kibe kujakuona  maendeleo ya vijana.Alivyokuja Mzee Kibe na kuona hali hiyo nae alimualika Mzee Taiga naowakati huo ndio walikua  wadau wakapendekeza Clabu hii iitwe TAI CLUB.


Club iliendelea kujulikana Mbagala nzima, tukaanza kupata changamotoza ndugu zetu wa Shotokan Karate wakidai tunachokicheza  hakitusaidiihapa Nchini. Hakuna Shaolin Kung - fu  tunaongopeana tu ni boratubadili staili tucheze karate watatuletea mwalimu wa Shotokani.



Tukalazimika kuanza  kuitangaza kupitia matamasha na kutembelea vilabumbalimbali vya Karate na vya Shaolin. Mpaka  Kung – fu  ikaanzakutambulika Wilaya ya Temeke.


Ilipofika mwaka 2006 Mzee Kibe  na Mzee Taiga waliamua kutukabidhisatefiketi ya  Msasani Tai Club.
Tulipotaka kufanya taratibu za uhamisho Afisa Utamaduni  wa Kinondoniwa wakati huo alikuwa Mr. Chaurembo , 

alitushauri tusiihamishe balitusajili ya kwetu.Ndipo ilipofika tarehe 05/07/2006 tukaisajili mbagara  Tai ShaolinKung – fu . Toka kuanza Dunia hapa Tanzania  haijawahi  kusajiliwaClubu yoyote kwajina la Shaolin Kung – fu hii ndiyo ya kwanza.


Tukazalisha walimu kadhaa wa Kung – fu kisha tukaanza kuwasambaza mikoaniIlipofika tarehe 08/06/2009 Tanzania tulipokea ugeni wa timu ya Wushutoka China. Walifanya shoo yaokibaha Firbert Bayi Sekondary School


Mbagara Tai  Club  tulishiriki  pamoja  katika shoohizo pamoja na ya chuo kikuu Dar es salaam pia tulishiriki.Kitendo hiki cha kushiriki shoo mbili hizi kilipelekea   makamo waRais wa Chinese Wushu  ndiye aliyekuwa kiongozi wa msafara huo.Aliiomba serikali ya China na ya Tanzania zisimamie uudwaji wa Chamacha Wushu Tanzania.Mpaka januari 2010 tayari chama cha Wushu Tanzania kilikuwa kimeshasajiliwa kwa jina la Tanzania Wushu Association (T.W.A)  chini ya uongozi waSULTANI UPINDE NA MUHARAMI S. MITETE.


Toka hapo tukawania kazi ya kubadilisha matawi ya Tai Club yote nakusimamia usajilin wa vilabu vya mikoani na kuhamasisha wadau
waliokuwa wanacheza Kung – fu  vichochoroni kujitokeza , tukasimamiausajiri wa vilabu vyao hatimae kuwasajili katika chama cha Wushu kazi
hii yote tuliifanya watu wawili mimi na Mitete tukisaidiwa na HarufaniMadhurui (Mr Mazu).    Muharami akiwa kama Raisi wa T.W.A, Mazu Makamo waRaisi, Fredi Maiga katibu Mkuu na Mimi nikiwa katibu Msaidizi,
Mbokigwe Bwana Mipango. Wa Maingu Hazina , Omari Maisa  HazinaMsaidizi .
Tuliyo wahi kuyafanya katika uongozi huu:-


Kumsafirisha  Mitete kwenda Beijing kujiunga IWUF,
Kuwasafirisha vijana wawili (2) kwenda China kujifunza  sarakasi vijana hao niOmari UpindeRamadhani Maneno Issa Cobra.tulipeleka vijana wa 2 katika mafunzo nchini China,
Muharami
Cobra,
Muhina,
Ayubu,
Tulipeleka vijana wanane Nchini uturuki katka mashindano ya watotoDuniani wenye umri chini ya miaka 18 Tanzania tulishika nafasi yakwanza Afrika na ya nane (8) Duniani





Tulipeleka vinaja wawili (2) Libiya katika mashindano ya Afrika nao niAbdala MuhinaUswege MwasebaTulishika  nafasi ya tatu (3)
Tulipeleka vijana wawili China kupata mafunzo nao ni:-R. MshanaZ. zola toka tarime,
Tuliwapeleka vijana watatu malawi kushiriki mafunzo ya mchezo wa Zurhani nao niAbdala NyoniAmani Rashidi (Zinja)Juma Mdadila,


Tuliandaa mashindano ya kwanza ya wushu hapa Nchini Tanzania 2011yalifanyika Coco Beach.
Kusimamia uchaguzi wa vilabu vyote vya wushu hapa Nchini,
Tulipeleka vijana wanne China kwenye mafunzo nao ni
Maulidi NgusilaSaidi MfaumeUswege MasebaYusuph Upinde
Nimesimamia  kusajiliwa  kwa timu ambazo naziita ni Famili nazo ni:-


1. Ngapoleka Wushu Club
2. Dragoni Wushu Club
3. Changamkeni  Wushu Club timu hii ipo katika sekondari ya mikwambe
wilaya ya  kigamboni inayoitwa changanyikeni,
4. ngwaya shaolin Kung – fu  na pia nimesimamia ujengwaji wa kituo cha kung – fu kikubwakilichopo kisiwani Mafia  nikishirikiana naDokta Bobu, ambacho tunatarajia kukizindua mwezi wa  6 2017
kwa ujumla hii ndio histori yangu kwa ufupi ndani ya wushu.Mpaka hii leo tarehe 06/03/2017,

,bado naendelea nikiwa katibu msaidiziwa T.W.A Taifa.



AHSANTENI KWA KUISOMA HISTORIA YANGU NDANI YA WUSHU.







KWA YOYOTE ANAETAKA KUTOA HISTORIA YAKE, AU CHOCHOTE, KUHUSU SANAA ZA MAPIGANO(martial arts) YA AINA YYOYOTE 
KUNG FU, KARATE, BOXING,
NK
WASILIANA NAMI KWA
0655326142 / 0785681680
au
NIANDIKIE KUPITIA
mfaumetz@gmail.com

Wednesday, March 1, 2017

YASSIN RAJABU BINGWA WA WUSHU (TAOLU) TANZANIA: 亚辛回历冠军武术(套路)坦桑尼亚:YASSIN RAJABU, THE CHAMPION OF WUSHU (TAOLU) TANZANIA.

                    Yassin Rajabu, bingwa mpya wa Wushu Tanzania kwa mwaka  2016 - 2017.

Chama cha Wushu Tanzania,kilisajiliwa mwaka 2009, na mwaka 2011 kilifanikiwa kuandaa mashindano ya kwanza ya taifa, ambayo yalifanyika katika ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es salaam.

Hii ni mara ya kwanza kwa Yassin kutwaa taji hilo katika mashindano hayo,ambayo hufanyika mara moja kwa mwaka, Yassin anakua mchezaji wa pili kushinda nafasi hiyo, baada ya Yusuph Upinde, ambae aliibuka champion wa mashindano ya kwanza,na ya pili,na hadi kufikia mwaka jana,alipo poteza tajihilo, ambalo lilikua mikononi mwake,tangu 2011 hadi 2016  kwa muda wa miaka mitano, bila kupatikana mshindi mwengine yoyote, lakini kama wasemavyo wahenga kila lenye mwanzo halikosi mwisho, na hatimae mwaka jana alishindwa kutetea taji lake,na Yassin ambae pia ni sehemu ya matunda ya kazi zake.

Yassin Rajabu alitwaa taji hilo licha ya kupata upinzani mkubwa toka kwa Saidi Upinde, ambae ni mdogo wa Yusuph Upinde.

Yassin, alianza mafunzo ya Wushu mwaka 2007,katika chuo cha Mbagala Tai Club, tawi la Mbagala Zakhem,

baada ya miezi kadhaa, Master Kamanda,ambaye ni Rais wa Wushu Tanzania, aliweza kugundua kipaji cha Yassin kupitia mashindano ya kila wiki, ambayo yalikuwa yakifanyika makao makuu ya Tai Club, kwa kukutanisha matawi yote ya Dar kwa kipindihiko,Yassin, aliendelea kujipatia umaarufu,sambamba na kujizolea mataji ya ya mashindano hayo ya kila wiki.

Mwanzoni mwa mwaka 2011, nyota yake iling'ara katika anga za kimataifa, baada ya kupeperusha vyema, bendera ya Tanzania, katika mashindano ya dunia yaliyo fanyika ndani ya jiji la Ankara nchini Uturuki na kurudi na medali ya Silva ushindi wa Yassin uliiweka tanzania kwenye kumi bora, katika renki ya dunia.

Kama utamuuliza nikipi kikubwa ulich kipata kupitia Wushu?, bila shaka elimu yake ya sekondari, huwenda likawa ni jambo lakwanza katika mengi aliyo ya pata, kupitia Wushu, mbali ya kutembea katika nchi mbalimbali, za Asia,Ulaya, na Afrika, huku akijipatia umaarufu na marafiki wengi duniani kote.

Historia ya bingwa huyu inaonyesha pia alisha wahi kuwa mchezaji wa Dragon Wushu Club, akitokea Mbagala Tai Club,
kabla ya kujiunga na klabu ya Amani Shaolin Kungfu, ya Manzese, jijini Dar es slaam,
na hadi sasa bado ni mchezaji wa klabu hiyo.
  YASSIN RAJABU,WA KWANZA KUSHOTO, AKIWA KATIKAPICHA YA PAMOJA, NA                                             BAADHI YA WACHEZAJI WENZAKE, NCHINI CHINA.

      kila laheri, Mr.Yassin, lakini kumbuka,nidhamu na upendo,ndiyo msingi wa mafanikio.






Yassin Rajab, the new champion of Wushu Tanzania for the year 2016-2017.

 Tanzania Wushu Association, was registered in 2009, and 2011, was successfully organize the first national tournament, which took place on the Coco Beach in Dar es salaam.

This is the first time for Yassin won the title in the tournament, which takes place once a year, Yassin grows the second player to win the same position, after Yusuf Upinde, who emerged champion of the first race, and second, and up to last year, when he lost the tittle, which grew into his hands, from 2011 to 2016 for five years, would found the winner any other, but as they say the sages all a beginning will surely end, and finally last year was unable to defend his title, and Yassin who it is also part of the fruits of his work.


Yassin Rajabu took the title in spite of great opposition from Saidi Upinde, who is the youngest of Yusuf Upinde.

Yassin, Wushu training began in 2007, at the Mbagala Tai Club, a branch of Mbagala Zakhem,

after several months, Master Kamanda, who is President of Wushu Tanzania, he can discover talent Yassin through weekly competitions, which were held headquarters Tai Club, to pull all branches of Dar to,over the reigns Yassin, continued  to gain popularity, secure titles compatible with the tournament every week.


Early in 2011, his star sparkled on the international stage, after relaying mounted, the flag of Tanzania, at the world championships that are held in the city of Ankara in Turkey to return the medal Silva's victory Yassin was placed on ten tanzania the best in the world rank.

If you ask what is substantially what you normally get through Wushu ?, of course his secondary education, it may be the first thing got, through Wushu, off the walk in various countries, to Asia, Europe, and Africa, as he gained fame and many friends around the world.

History shows this champion has also served as player sha Dragon Wushu Club, coming from Mbagala Tai Club,
before joining the Amani Shaolin Kungfu Club, Manzese, in Dar es slaam,
and up to now it is still a player at the club.

  Yassin Rajab, ONE LEFT, AT in the picture together, and some of his teammates, IN CHINA.


      all Laheri, Mr.Yassin, but remember, discipline and love, is the foundation of successfu.


Yassin Rajab,2016 - 2017年武术坦桑尼亚新冠军。

 坦桑尼亚武术协会,2009年注册,2011年,成功地组织了第一次全国锦标赛,在达累斯萨拉姆的可可海滩举行。

这是Yassin第一次在比赛中获得冠军,每年举行一次,Yassin成长第二个球员赢得同样的位置,Yusuph Upinde后,谁出现的第一场比赛的冠军,第二,去年,当他失去了点数,他成长到他的手中,从2011年到2016年五年,将找到赢家任何其他,但因为他们说圣人一开始就肯定会结束,终于去年无法保卫他的头衔,Yassin谁也是他的工作的成果的一部分。


尽管来自Yisuph Upinde最年轻的Saidi Upinde的强烈反对,Yassin Rajabu获得了冠军。

Yassin,武术训练始于2007年,在Mbagala Tai俱乐部,Mbagala Zakhem的一个分支,

几个月后,他是坦桑尼亚武术队长的Kamanda大师,他可以通过每周比赛,发现天才亚辛,他们在总部太俱乐部,拉所有分支Dar到Yassin统治继续受欢迎,与每周的比赛兼容。


2011年初,他的明星在国际舞台上闪闪发光,在继承了坦桑尼亚国旗后,在土耳其安卡拉市举行的世界锦标赛上返回奖牌Silva的胜利Yassin被放置在十坦桑尼亚最好的世界排名。

如果你问什么基本上是你通常通过武术得到的,当然他的中学教育,它可能是第一件事,通过武术,在各个国家,走在亚洲,欧洲和非洲,当他成名和世界各地的许多朋友。

历史表明,这位冠军也曾担任玩家沙龙武术俱乐部,来自Mbagala太俱乐部,
在加入阿曼少林功夫俱乐部之前,在达累斯萨拉姆,
并且到现在它仍然是俱乐部的球员。

  Yassin Rajab,ONE LEFT,AT in the picture together,and some of his teammates,IN CHINA。


      所有拉赫里,Yassin先生,但记住,纪律和爱,是成功的基础

JIFUNZE MAJINA YA NGUMI, MATEKE, KWA KICHINA: BY MASTER MFAUME.



 

   基本 腿 型 - Basic Leg Kicks



                                                      正 腿 - Zheng Tui (Front Kick)

                                                         弹腿 - Tan Tui (Spring Kick)

                                                            侧 腿 - Ce Tui (Side Kick)

                                              正 蹬腿 - Deng Zheng Tui (Front Push Kick)

                                                   里 合 腿 - Li He Tui (Inner Crescent)

                                                  摆 莲 脚 - Bai Lian Jiao (Outer Crescent)

                                               拍 脚 腿 - Jiao Pai Tui (Clapping Foot Kick)

                                                    旋风 脚 - Xuan Feng Jiao (Tornado Kick)

                                                     旋 子 腿 - Xuan Zi Tui (Butterfly Kick)

                                                    前 扫 腿 - Qian Sau Tui (Forward Sweep)

                                                        后 扫 腿 - Hou Tui Sau (Back Sweep)

                                                   跌 竖 叉 - Die Shu Cha (Land Front Split).


           基本 手 型 - Basic Hand Positions拳 - Quan (Fist)

                                                  钩手 - Gou Shou (Hand Hooking)

                                                   劈 捶- Pi Chui (Quan) Chopping Fist

                                                   圈 捶 - Quan (Hyun) Chui - Circle Punch

                                                   穿 掌 - Chuan Zhang - Pierce Palm

                                                   插 掌 - Cha Zhang - Downward Palm

                                                   劈掌 - Pi Zhang - Chopping Palm

                                                   拍掌 - Pai Zhang - Clapping Palm

                                                   鹰爪 - Zhao Ying - Eagle Claw

                                                   鹰爪 掌 - Zhao Ying Zhang - Eagle Claw Palm


                                                   虎爪 - Hu Zhao - Tiger Claw

                                                   豹 捶 - Bao Chui - Leopard Fist.