Our Clubs.

...

Thursday, May 3, 2018

Jionee Mtihani wa Kung Fu unavyokua(3)



Hii ni sehemu ya mtihani uliyofanyika katika Klabu ya Mafia Shaolin Kungfu huko mjini Mfia.



Mtihani huo uliiambatana na uzinduzi rasmi wa Klabuhiyo, 

katika hafla hiyo mgeni rasmi alikua mkuu wa wilaya ya Mafia na ilihudhuriwa na rais wa chama cha Wushu Tanzania (TWA)

Mwarami Mitete,

Makamu wa katibu, Mzee Sultani Upinde,

na afisa mipango Saidi Mfaume.

No comments:

Post a Comment